RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) wakati
akitembelea maonesho ya Kimataifa ya Sekta ya Utalii “The Z Summit” baada ya
kuyafungua maonesho hayo leo 23-2-2023,katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti
wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Bw.Rahim Bhaloo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akipata maelezo kutoka kwa Bw. Nicola Alessandro, wakati akitembelea maonesho
ya Sektya ya Utalii “The Z Summit” baada
ya kuyafungua leo 23-2-2023 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa
Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar na (kulia kwa
Rais) Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Bw. Rahim Bhaloo.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiangalia fulana wakati akitembelea banda la maonesho la Zanzibar Padel, baada
ya kuyafungua Maonesho ya Kimataifa ya Sekta ya Utalii “The Z Summit”
yanayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharini”B” Unguja leo 23-2-2023, na (kulia kwa Rais)
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Bw.Rahim Bhaloo na Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akitembelea maonesho ya Kimataifa ya Sekta ya Utalii “The Z Summit” baada ya
kuyafungua leo 23-2-2023, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa
Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, akimsikiliza
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Mhe. Rahim Bhaloo, wakati
akitembelea maonesho hayo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya
Kale Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said na Waziri wa Maliasili na Utalii
Tanzania Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akielekea katika ukumbi wa mkutano katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa
Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, baada ya
kuyafungua maonesho ya Kimataifa ya Sekta ya Utalii “The Z Summit” na (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said
na Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa
Kamisheni ya Utalii Zanzibar.Bw. Rahim Bhaloo na Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana
MSANII
wa muziki wa Taarab Zanzibar Siti Amina
akitowa burudani wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau
mbalimbali wa Sekta ya Utalii “The
Z Summit” uliofunguliwa leo
23-2-2023 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa
Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini ZanzibarRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga makofi kumpongeza Msanii wa muziki wa Taarab Siti Amina baada ya kutowa burudani wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau mbalimbali wa Sekta ya Utalii “The Z Summit” uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 23-2-2023, na (kulia wa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said na Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa na ( kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Bw. Rahim Bhaloo.
MWENYEKITI wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Bw.Rahim Bhaloo akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kimtaifa wa Wadau mbalimbali wa Sekta ya Utalii “The Z Summit” uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 23-2-2023.
WAZIRI wa Maliasi na Utalii Tanzania Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau mbalimbali wa Sekta ya Utalii “The Z Summit” uliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, leo 23-2-2023, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
WAZIRI wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau mbalimbali wa Sekta ya Utalii “The Z Summit” kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuufungua mkutano huo uliofanyika leo 23-2-2023, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau mbalimbali katika Sekta ya Utalii “The Z Summit” , uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 23-2-2023
WASHIRIKI wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau mbalimbali katika Sekta ya Utalii “The Z Summit” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 23-2-2023
WASHIRIKI wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau mbalimbali katika Sekta ya Utalii “The Z Summit” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 23-2-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Gazeti la “The Z Summit” baada ya kuufungua Mkutano Mkuu wa Wadau mbalimbali wa Sekta ya Utalii uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi ”B”Unguja leo 23-2-2023 Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar.Bw. Rahim Bhaloo na (kulia kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said na Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha Gazeti la “The Z Summit” baada ya kulizindua rasmin wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau mbalimbali wa Sekta ya Utalii uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi ”B”Unguja leo 23-2-2023 Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar.Bw. Rahim Bhaloo na (kulia kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said
No comments:
Post a Comment