Habari za Punde

Fainali ya Mashindano ya Qur-an Tartiil Zanzibar Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Unguja

WASHIRIKI wa Fainali ya Mashindano ya Kusoma Qur-an Tartiil, wakiwa katika ukumbi kabla ya kuaza kwa mashindano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, yaliyodhaminiwa na Benki ya Watu wa Zanzibar.






RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi ufungo wa Pikipiki (Bodaboda)mshindi wa Pili wa Fainali ya Mashindano ya Kusoma Qur-an Tartiil Zanzibar. Mwanafunzi. Nassor Hamad Kombo, baada ya kuibuka mshinda katika mashindano hayo ya fainali yaliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 19-4-2023

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi ufungo wa gari aina ya Toyota Alphard mshindi wa kwanza wa Fainali ya Mashindano ya Kusoma Qur-an Tartiil Zanzibar. Mwanafunzi. Said Ali Juma, baada ya kuibuka mshinda katika mashindano hayo ya fainali yaliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 19-4-2023. Na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Huduma za Kibenki PBZ Ndg. Said Mohammed Said








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.