RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana
na kuagana na Viongozi wa Serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume Zanzibar akielekea Nchini Qatar, kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la
Kimataifa la Tatu la Uchumi linalofanyika Doha Nchini Qatar, akimuwakilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana
na Wazee wa Chama Cha Mapinduzi katika ukumbi wa VIP katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Qatar, kuhudhuria
Mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la Tatu la Uchumi linalofanyika Doha Nchini Qatar,
akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
Hassan
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana
na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utrumishi na Utawala Bora
Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume Zanzibar, akielekea Nchini Qatar, kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la
Kimataifa la Tatu la Uchumi linalofanyika Doha Nchini Qatar, akimuwakilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.
No comments:
Post a Comment