Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sierra Leone nchini Tanzania aliye na Makazi Kenya Mhe. Isatu A. Bandu, Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 24 Julai, 2023. Nchi hizo mbili zinadhamiria kuimarisha masuala ya Biashara na Uwekezaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan nchini Tanzania Mhe. Siraji Ahamad Khan, Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 24 Julai, 2023. Pakistan na Tanzania wana mpango wa kuendeleza ushirikiano katika masuala mengi ikiwemo diplomasia, teknolojia pamoja na majeshi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sierra Leone nchini Tanzania aliye na Makazi Kenya Mhe. Isatu A. Bandu, mara baada ya kukabidhi Hati za Utambulisho Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 24 Julai, 2023. Nchi hizo mbili zinadhamiria kuimarisha masuala ya Biashara na Uwekezaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan nchini Tanzania Mhe. Siraji Ahamad Khan, mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho, Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 24 Julai, 2023. Pakistan na Tanzania wana mpango wa kuendeleza ushirikiano katika masuala mengi ikiwemo diplomasia, teknolojia pamoja na majeshi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sierra Leone nchini Tanzania aliye na Makazi Kenya Mhe. Isatu A. Bandu, Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar mara baada ya mazungumzo yao tarehe 24 Julai, 2023. Nchi hizo mbili zinadhamiria kuimarisha masuala ya Biashara na Uwekezaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan nchini Tanzania Mhe. Siraji Ahamad Khan, mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho, Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 24 Julai, 2023. Pakistan na Tanzania wana mpango wa kuendeleza ushirikiano katika masuala mengi ikiwemo diplomasia, teknolojia pamoja na majeshi.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Mhe.Kassim Majaliwa Awasili Peramiho Kushiriki Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Songea
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Askofu Mkuu wa jimbo Kuu la
Songea, Damian Dallu alipowasili kwenye kilima cha Peramiho kuwa mgeni
rasmi ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment