Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Beijing
Capital nchini China kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa nchi
na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) tarehe 03,Septemba 2024.
TPDC YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO NA UPIMAJI WA AFYA BURE -SONGOSONGO
-
Songosongo, Kilwa — Oktoba 25, 2025
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kudhihirisha
dhamira yake yakuimarisha mahusiano na jamii k...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment