Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Watanzania wanaoishi nchini China (Diaspora)kwenye Mkutano uliofanyika Jijini Beijing

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania wakiwemo wafanyakazi, wanafunzi na wafanyabiashara wanaoishi nchini China (Diaspora) kwenye mkutano uliofanyika Jijini Beijing.
Watanzania wanaoishi nchini China (Diaspora) wakiwa kwenye mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Jijini Beijing 
Watanzania wanaoishi nchini China (Diaspora) wakiwa kwenye mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Jijini Beijing.
Watanzania wanaoishi nchini China (Diaspora) wakiwa kwenye mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Jijini Beijing. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Watanzania wakiwemo wafanyakazi, wanafunzi na wafanyabiashara wanaoishi nchini China (Diaspora) mara baada ya kuzungumza nao Jijini Beijing.

Matukio mbalimbali katika mkutano kati ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Watanzania waishio nchini China (Diaspora) uliofanyika Jijini Beijing.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.