Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Kushoto), akiwa na Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara na Maendeleo (Trade and Development Bank Group-TDB), Bw. Admassu Tadesse, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo Kando ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi na Serikali, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (JNICC), Jijini Dar es Salaam, ambapo pamoja na mambo mengine, Mhe. Dkt. Nchemba aliishukuru Benki hiyo kwa kuchangia maendeleo ya nchi kwa kutoa fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya kiuchumi ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR kipande cha 2 kinachoanzia Morogoro hadi Dodoma, ambayo ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 100.
Ulega Ahamasisha Wananchi Tambani Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29
-
*MKURANGA, Pwani* – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Kijiji cha Tambani
ku...
2 hours ago

.jpg)
No comments:
Post a Comment