Usione sipokei simu kama ukinipigia maana umeme hatuna na sina sehemu ya kwenda kuichaji hatuna umeme tokea Jumaane. Na hata ukumbi utadorora katika kupandisha picha za matukio.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment