JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya
kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe*
*Dkt.Jafo amer...
3 hours ago
Hongera zenu.
ReplyDeleteKiasi fulani hapo mtaeleweka kwa hili la shopping center. tunawaombeeni lifanikiwe
Haya ndio maendeleo ambayo tunayahitaji haya maduka ya makonte sasa nayo yawe basi maana tupo katika karne ya 20 ikiwa nchi nyengine zinafanikiwa kwa nini sisi hatufanikiwa au ikwa rai wanaweza kujenga majumba makubwa kwanini serikali inashindwa kufanya vitu simple kama hivi. Mchoraji wa hii proposal Map ameona mmbali.
ReplyDelete