Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum, ikiwemo Watu wenye
ulemavu ili waweze kuepukana na hali tegemezi.
-
Mwakilishi wa viti maalum kupitia Watu wenye ulemavu Mhe. Zainab Abdallah
Salim amewataka Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum,
ikiwemo ...
14 minutes ago
Hongera zenu.
ReplyDeleteKiasi fulani hapo mtaeleweka kwa hili la shopping center. tunawaombeeni lifanikiwe
Haya ndio maendeleo ambayo tunayahitaji haya maduka ya makonte sasa nayo yawe basi maana tupo katika karne ya 20 ikiwa nchi nyengine zinafanikiwa kwa nini sisi hatufanikiwa au ikwa rai wanaweza kujenga majumba makubwa kwanini serikali inashindwa kufanya vitu simple kama hivi. Mchoraji wa hii proposal Map ameona mmbali.
ReplyDelete