Naam kumi la mwisho la Ramadhaan na pirika pirika za kuwatafutia watoto nguo za sikukuu, mitaa ya Darajani huwa hapatoshi maana kunashona watu laysal qiyaas. Ni msimu wa mavuno kwa wafanya biashara na msimu wa naqama kwa wazazi maana kama nguo hazijatimia hakuna sikukuu. Mzee wangu aliwahi kunihadithia huko nyuma kwamba si wote ni watu hao kuna wengine ni ...
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment