Naam kumi la mwisho la Ramadhaan na pirika pirika za kuwatafutia watoto nguo za sikukuu, mitaa ya Darajani huwa hapatoshi maana kunashona watu laysal qiyaas. Ni msimu wa mavuno kwa wafanya biashara na msimu wa naqama kwa wazazi maana kama nguo hazijatimia hakuna sikukuu. Mzee wangu aliwahi kunihadithia huko nyuma kwamba si wote ni watu hao kuna wengine ni ...
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment