Naam kumi la mwisho la Ramadhaan na pirika pirika za kuwatafutia watoto nguo za sikukuu, mitaa ya Darajani huwa hapatoshi maana kunashona watu laysal qiyaas. Ni msimu wa mavuno kwa wafanya biashara na msimu wa naqama kwa wazazi maana kama nguo hazijatimia hakuna sikukuu. Mzee wangu aliwahi kunihadithia huko nyuma kwamba si wote ni watu hao kuna wengine ni ...
RAIS DKT.SAMIA APOKEA TUZO MAALUM 'POWER OF 100 WOMEN AWARD' KUTOKA BENKI
YA ACCESS TANZANIA GROUP JIJINI DAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya
Access...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment