Naam kumi la mwisho la Ramadhaan na pirika pirika za kuwatafutia watoto nguo za sikukuu, mitaa ya Darajani huwa hapatoshi maana kunashona watu laysal qiyaas. Ni msimu wa mavuno kwa wafanya biashara na msimu wa naqama kwa wazazi maana kama nguo hazijatimia hakuna sikukuu. Mzee wangu aliwahi kunihadithia huko nyuma kwamba si wote ni watu hao kuna wengine ni ...
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Wapatiwa Mafunzo Elekezi
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameshiriki
katika Mafunzo elekezi kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
yanayofany...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment