Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodgar Tenga (kushoto) akibadilishana mkataba wa udhamini wa bia ya Kilimanjaro kwa timu ya Taifa, ‘Taifa Stars’, na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Robin Goetzsche (kulia) wakati wa hafla fupi iliyofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa Kibo, hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro.
TAMKO LA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA
-
Dar es Salaam,28-10-2025
Tanzania Bloggers Network (TBN) inatoa pongezi za dhati kwa Watanzania
wote, wagombea, vyama vya siasa, Tume Huru ya Taifa ya U...
47 minutes ago


No comments:
Post a Comment