Mafundi kutoka shirika la Umeme Zanzibar
tawi la Pemba (ZECO) wakiifunga Transfoma kwa ajili ya kuwasambaazia huduma ya
umeme wananchi wa Shehia za Msuka kijiji cha Dodea Wilaya ya Micheweni Pemba,
ambayo ilinunuliwa kwa pamoja baina ya wananchi na shirika hilo.
Kulia ni fundi Abdallah Bakar Mohamed na kushoto ni Abdullwahid Azizi
Abdallah (picha na Haji Nassor, Pemba )
No comments:
Post a Comment