Wajasiraiamali wanawake wa Wilaya ya
Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza mtoa mada Ali Haji Hamad
hayupo pichani, kwenye mafunzo ya siku mbili ya matumizi ya vyombo vya habari,
yaliofanyika jana huko Skuli ya sekondari ya Wingwi, ambayo yameandaliwa na
Mradi wa Ujasiriamali na Maisha na kuratibiwa na TAMWA (picha na Haji Nassor, Pemba )
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment