Wajasiraiamali wanawake wa Wilaya ya
Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza mtoa mada Ali Haji Hamad
hayupo pichani, kwenye mafunzo ya siku mbili ya matumizi ya vyombo vya habari,
yaliofanyika jana huko Skuli ya sekondari ya Wingwi, ambayo yameandaliwa na
Mradi wa Ujasiriamali na Maisha na kuratibiwa na TAMWA (picha na Haji Nassor, Pemba )
Ulega Ahamasisha Wananchi Tambani Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29
-
*MKURANGA, Pwani* – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Kijiji cha Tambani
ku...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment