Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mwanaamina
Haji Farouk (kulia) akipokea fomu kutoka kwa Karani Mafunda Ramadhan Sudi, ya kuomba kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa
UVCCM Taifa.
Hafla hiyo ilifanyika kwenye Ofisi za Jumuia hiyo za Mkoa wa
Kusini Pemba Mjini Chake chake Kisiwani Pemba hapo jana, ambapo shamra shamra
za uchukuaji wa fomu zimeanza (picha na
Haji Nassor, Pemba )
No comments:
Post a Comment