Habari za Punde

Sherehe za Idd Wambaa, Mkoani Pemba

 
WANAKIKUNDI cha maigizo cha Kwadelo Wambaa Mkoani Pemba, wakionyesha mchezo wao katika kusherehekea sikukuu ya Idd, ambapo kwa Wambaa sherehe hizo zilifanyika uwanja wa Skuli ya Wambaa, ambapo waandaji huandaa kwa kuonyesha michezo mbali mbali ya kiislamu, ikiwani ni pamoja na sira, tenzi na riadha (picha na Haji Nassor, Pemba)


WASANII wa kikundi cha maigizo cha Kwadelo Wambaa Mkoani Pemba, wakiwa mwamembeba muigizaji Ussi Salim ambae kwenye igizo hilo ni mfaulme anaishi katika nchi ya nawiri, sherehe hizo za sikukuu ya Idd kwa njia ya kiislamu zilifanyika uwanja wa Skuli ya Wambaa na kuhudhuriwa na wananchi kadhaa

 (Picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.