Habari za Punde

Maziko ya Mfanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo

 Wananchi mbalimbali pamoja na wanahabari wakishiriki katika sala ya kumuombea aliyekuwa Msaidizi Fundi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Marehemu Mbarouk Yussuf aliefariki leo na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar
 Wananchi mbalimbali pamoja na wanahabari wakibeba Jeneza la aliekuwa Msaidizi Fundi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Marehemu Mbarouk Yussuf aliefariki leo na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar. 
Wananchi mbalimbali pamoja na wanahabari wakiwa katika Mazishi ya aliyekuwa Msaidizi Fundi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Marehemu Mbarouk Yussuf aliefariki leo na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.