Waumini wa kiislamu Leicester wakisubiri sala ya Eid kusaliwa
Waumini wa kiislamu Leicester wakisubiri sala ya Eid kusaliwa
Sheikh Abdalla Sane akijiandaa kwenda kusalisha sala ya Eid iliofanyika katika ukumbi wa Taylor Road School
Kila mtu alikuwa makini katika hotuba hiyo
Inshaallah hawa ndio wanafunzi watakaonufaika na jengo hilo ambalo jumuiya ya An Noor inalipigania kulipata
Baadhi ya wajumbe wa An Noor Community Leicester baada ya kukamilisha shughuli yote ya suala zima la Eid
Ulega Ahamasisha Wananchi Tambani Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29
-
*MKURANGA, Pwani* – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Kijiji cha Tambani
ku...
3 hours ago







Jee wanamama wenzetu huko hamuswali sala ya eid? mbona hatuwaoni?
ReplyDelete