Habari za Punde

Dk Shein akutana na watendaji Wizara ya Ustawi wa jamii, maendeleo ya wanawake na watoto

 Watendaji katika Wizara ya Ustawi wa Jamii aendeleo ya Wanawake na Watoto,wakiwa katika Mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawake na Watoto,katika utekelezaji wa
kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,na Uongozi wa Wizara ya Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawake na Watoto,wakiwa katika Mkutano chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani)katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar
.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.