Habari za Punde

Ujenzi wa Barabara ya Darajabovu Ukiendelea na Ujenzi Wake.

 Tingatinga la Idara ya Ujenzi wa Barabara Zanzibar likiweka sawa kifusi katika sehemu ya pili ya barabara ya darajabovu ambayo ujenzi wake ukiendelea kumalizia barabara hiyo, ambayo baada ya kumalizika kwa ujenzi huo itakuwa na uwezo wa kupitisha magari manne kwa wakati mmoja, barabara hiyi ilikuwa imeweka lami upande mmoja na sasa inamaliziwa upande wa pili kwa kiasi kukubwa tayari imekamilika na ujenzi huo na sehemu iliobaki inamaliziwa kama inavyooneka tingatinga hili likiwa kazi. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.