Mtaalamu kutoka kikosi cha Zimamoto na Uokozi Pemba, Mohammed Fadhili, akizima moto, baada ya kuwapatia taaluma, wafanyakazi wa shirika la Umeme ZECO Tawi la Pemba, Jinsi gani mitungi ya gesi ya huduma ya kwanza, yanavyo anya kazi pale panapotokea tatizo la kuungua moto. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
9 hours ago
Mabaduliko yoyote ya katiba Z'bar lazma yaweke wazi majukumu ya wakuu wa mikoa na wilaya.
ReplyDeleteUmri na viwango vyao vya elimu ni muhimu katika kujenga imani kwa wananchi juu ya uwezo wao kiutendaji.