Wananchi wa kisiwa cha Tumbatu Zanzibar wakipokea mizigo ya vyakula vya sadaka, kutoka Bank ya FBME TAWI LA ZANZIBAR
Mkurugenzi wa uendeshaji wa BANK ya FBME tawi la Zanzibar, Nassor Dachi ( kulia) akikabidhi sadaka ya chakula kwa Pandu Makame Kombo
Mfanya kazi wa FBME Said Mchande akimkabidhi Sadaka ya chakula Mzee Ali Khamis
Mfanya kazi wa FBME Aboubakar Saleh (kulia) akimkabidhi msaada wa chakula Bibi Miza Haji Nyange
Mkurugenzi wa uendeshaji Bank ya FBME Nassor Dachi (kulia ) akimkabidhi sadaka ya chakula Bibi Kazija Haji
PICHA ZOTE NA MARTIN KABEMBA
Mama Malema awatakia kheri Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, na Mgombea mwenza
Dkt Emmanuel Nchimbi, wagombea wa CCM Uchaguzi Mkuu Tanzania
-
Mwanachama na kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama
Jacqueline Malema Daniel, ametuma salamu za kheri na pongezi kwa wagombea
wote wa chama...
19 minutes ago

No comments:
Post a Comment