Mwananchi huyu akikatisha njia kwa kupanda ukingo wa barabara unaogawa barabara mbili katika maeneo ya mwanakwerekwe na kusababisha msongamano wa magari na kuhatarisha watumiaji wa bara hiyo inaweza kusababisha ajali na kukiuka sheria za barabara kupita sehemi isiyo husika kama hii. Tusema dereva huyu kweli ana maadili ya utumizi wa barabara na ana leseni halali
TASAC Yawasihi Vijana Kuchangamkia Mafunzo ya Mabaharia
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
LICHA ya sekta ya bahari kuwa na mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa
dunia, bado dunia inakabiliwa na upungufu mkubwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment