Muonekano wa Jengo jipya la Hospitali lililojengwa na Mfanyabiashara Maarufu Zanzibar inatarajiwa kufunguliwa kesho katika maeneo ya jirani na Wizara ya Afya Mnazi mmoja, jirani na Chuo cha Mwalim Bee majestiki Zenj.
AKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victor Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipindi ...
31 minutes ago
kwa jengo linaonekana zuri sijui huduma tena?, mutafute madaktari bingwa sio muweke hao madaktari wa m/mmoja hawajui chochote kazi dharau tu, mukiweka ma DK wa maana basi tutakuja tu maana tushachoka kwanda bara kwanza unaumwa pili usafiri inakuwa balaa juu ya balaa
ReplyDeleteKweli jengo kwa nje liko smart kabisa. Tunataka madaktari bingwa jamani tutakwenda kwa gharama yoyote kwani huko India tunakwenda. Kama alivyosema mdau hapo juu sio Wa M/mmoja Hawa nao pia ni mabingwa lakini bora waachwe Kule mnazi mmoja vyenginevyo kutakuwa hakuna tofauti. Ukienda hospitali nyingi za private madoctor ni hao hao wanaofanya mnazi mmoja sio tatizo sana kwani wanatafuta Riziki zao lakini kwa kwelu ufanusi khasa Wa utendaji ni mdogo pengine kwa sababu ya overload ya kazi. Naomba wahusika kwa hospital hoi tubadilike. Naitakia kila la kheri hospitali hii mpya ambayo inatupa matumaini mapya ya kupata huduma bora za Afya.
ReplyDeleteHongera muwekezaji
ReplyDeleteNaunga mkono.
ReplyDeleteHaya ndio tunayoyataka khasa. Tunaiomba Serikali yetu tukufu ishajihishe zaidi hao wawekezaji kwenye sekta kama hii sio kwenye Utalii tu.
ReplyDeleteKinachohitajika z'bar, sio uwekezaji tu bali pia uhuru wa kuwekeza. Nakumbuka mwekezaji wa hospitli ya Al -Rahma alikua na malengo makubwa lkn. alihofia sana ya kisiasa iliyokuwepo!
ReplyDeleteNakumbuka wakati fulani 'walipigwa mkwala' sana wakati walipowapokea majeruhi wa risasi wa chama cha upinzani. SASA
Ktk hali kama hiyo, huwezi 'kurisk' uwekezaji mkubwa ktk afya hapa. bora hivo-hivo wagonjwa waelekee Bara au India mpaka pale tutakapopata akili nzuri!