KIKUNDI cha wasanii kutoka wilaya ya Wete wakiwaburudisha viongozi na wanachama wa chama cha wananchi CUF, waliohudhuria kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ya mgombea urais uliofanyika uwanja wa Tibirinzi Chake chake kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MGOMBEA urais wa chama cha wananchi CUF maalim SEIF Sharif Hamad akizungumza na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika kiwanja cha Tibirinzi Chake chake Kisiwani Pemba, (Picha na Haji nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment