Mkazi wa Malindi, Salim Salim akipokea zawadi ya Tisheti kutoka kwa mfanyakazi wa duka la Tigo Zanzibar Moses Kalyata wakati wa siku ya maadhimisho ya mapinduzi ya visiwani humo
|
Mkazi wa Malindi akipokea zawadi ya Tisheti kwa mmoja wa wafanyakazi wa duka la Tigo Zanzibar Moses Kalyata katika moja zilizofanyika katika maadhimisho ya siku ya mapinduzi jana visiwani humo
|
Vinywaji na chakula vikiwa vimeandaliwa tayari kwa ajili ya wateja wote waliotembelea duka la tigo linalopatikana Mtaa wa Malindi Zanzibar katika maadhimisho ya siku ya Mapinduzi visiwani humo
|
No comments:
Post a Comment