Mkurugenzi wa Elimu
Mbadala na Mafunzo ya Watu wazima Zanzibar, Mashavu Ahmada Faki, akizungumza na
walimu michezo Mskulini na maafisa juu ya maandalizi ya tamasha la Elimu bila
ya malipo, huko katika ukumbi wa skuli ya madungu maandalizi Chake Chake Pemba
Mkurugenzi wa Idara
ya Michezo na Utamaduni Zanzibar Hassan Tawakal, akizungumza na walimu wa
michezo Maskulini juu ya malengo na mikakati ya Idara yake, katika kuhakikisha
michezo maskuli inarudi tena huko katika skuli ya madungu maandalizi Chake
Chake Pemba
Afisa Mdhamini Wizara
ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, Salum Kitwana Sururu akiwasisitiza walimu
wa michezo maskuli, kuhakikisha wanafuata kanuni na sheria za michezo, wakati wa
mashindano ya elimu bila ya malipo kikao hicho kimefanyika katika skuli ya
Maandalizi Madungu Chake Chake Pemba
No comments:
Post a Comment