Baadhi ya Masheha wa Wilaya za Magharibi A na B wakisikiliza hotuba ya Balozi Seif wakati alipobadilishana nao mawazo kuhusu suala la migogoro ya ardhi katika maeneo yao
Balozi Seif akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Masheha wa Wilaya za Magharibi A na B hapo Makao Makuu ya Kikosi cha Valantia Mtoni.
Kulia ya Balozi Seif ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum ya SMZ Mh. Haji Omar Kheir na Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Mh. Salama Aboud Talib.
Kushoto ya Mhe. Haji Omar ni Makamu wa P;ili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif na Kulia ya Mh. Haji ni Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Mh. Salama Aboud Talib na Naibu wake Mh. Juma Makungu Juma.
Sheha wa Shehia ya Tomondo Bwana Moh’d Omar Said akichangia mawazo katika mkutano wao na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar uliofanyika Makao Makuu ya Kikosi cha Valantia {KVZ} Mtoni.
Picha na - OMPR – ZNZ.
No comments:
Post a Comment