Mmiliki wa kliniki ya ‘Madawa Herbal Clinic’ ya Bububu Kijichi Muh’d Said Ali akitoa maelezo kuhusu huduma anazotoa katika kliniki yake baada ya wajumbe kutoka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kufika katika kliniki yake kufuatilia shutma za kulaza wagonjwa kitu ambacho kinakatazwa, wa mwanzo (kulia) Mrajis wa Tiba asili Zanzibar Haji Juma Kundi.
Mrajis wa Tiba asili Zanzibar Haji Juma Kundi akitembelea maduka mbali mbali ya kuuzia dawa za asili wakiwa kwenye ukaguzi wa kawaida kuangalia ubora wa dawa na hati za usajili wa maduka hayo. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Mgombea Urais wa Zanzibar Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefunga Kampeni za CCM Katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja Jijini Zanzibar leo 26-10-2025
-
Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi
wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha
Mapind...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment