Mmiliki wa kliniki ya ‘Madawa Herbal Clinic’ ya Bububu Kijichi Muh’d Said Ali akitoa maelezo kuhusu huduma anazotoa katika kliniki yake baada ya wajumbe kutoka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kufika katika kliniki yake kufuatilia shutma za kulaza wagonjwa kitu ambacho kinakatazwa, wa mwanzo (kulia) Mrajis wa Tiba asili Zanzibar Haji Juma Kundi.
Mrajis wa Tiba asili Zanzibar Haji Juma Kundi akitembelea maduka mbali mbali ya kuuzia dawa za asili wakiwa kwenye ukaguzi wa kawaida kuangalia ubora wa dawa na hati za usajili wa maduka hayo. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment