Mmiliki wa kliniki ya ‘Madawa Herbal Clinic’ ya Bububu Kijichi Muh’d Said Ali akitoa maelezo kuhusu huduma anazotoa katika kliniki yake baada ya wajumbe kutoka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kufika katika kliniki yake kufuatilia shutma za kulaza wagonjwa kitu ambacho kinakatazwa, wa mwanzo (kulia) Mrajis wa Tiba asili Zanzibar Haji Juma Kundi.
Mrajis wa Tiba asili Zanzibar Haji Juma Kundi akitembelea maduka mbali mbali ya kuuzia dawa za asili wakiwa kwenye ukaguzi wa kawaida kuangalia ubora wa dawa na hati za usajili wa maduka hayo. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
WAHITIMU MAFUNZO YA MFUMO STAKABADHI GHALA WATAKIWA KUONGEZA UWAZI NA UBORA
KATIKA UTENDAJI KAZI WAO
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi
wa Stakabadhi za Ghala,Godwin Mkanwa,akikabidhi Cheti Mhitimu wa mafunzo ya
...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment