Eneo: Mazizini ( karibu na Msikiti Mahfudh mwendo wa dakika mbili kufika barabara kuu )
Nyumba: Ina vyumba vitatu chumba kimoja ni Master bedroom ( vyumba vyote vina makabati yaliyojengewa)
Ukumbi mkubwa
Dining:
Sehemu ya kuegesha Gari (zinaweza kuingia gari nne)
Maji: Kisima kimo ndani ya nyumba
Ipo Karibu na Barabara Kuu ya Chukwani
Bei: Maelewano
Kwa mawasiliano zaidi piga simu moja kwa moja kwa mwenye nyumba (Si Dalali) au whatsapp +447415728946 UK au email Qaboss@msn.com .
Kwa Zanzibar, unaweza kuwasiliana na mmiliki wa Zanzinews 0777 424152
No comments:
Post a Comment