AFISA Mdhamini
wizara ya Nchi, Afisi Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Pemba Massoud Ali Mohamed (nyuma), akiambatana na Mkuu wa kamisheni ya Wakfu na
mali ya amana Pemba Ali Haji, wakiangalia mipaka ya shamba lenye mzozo liliopo
Mgagadu wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Mdhamini wizara ya
Nchi, Afisi ya rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Pemba
Massoud Ali Mohamed akimfahamisha jambo, mmoja wa anaedai kuporwa shamba lake
Khalid Mohamed Rashid wakati uongozi wa wizara hiyo pamoja na Kamisheni ya
wakfu walipokuwa wakikagua shamba hilo, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
MOJA ya eneo la
shamba lenye miti kadhaa ikiwa ni pamoja na mikarafuu, linalodaiwa kuibua mgogoro
baina ya bwana Nassor Khalid na bwana Khalid Mohamed Rashid eneo la Mgagadu
wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
UONGOZI wa wizara ya
Nchi, afisi ya rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Pemba,
ukiongozwa na Afisa Mdhamini wa wizara hiyo Pemba Massoud Ali Mohamed asie na
tai, wakati wakirudi kuangalia shamba la wakfu lililoibua mgogoro eneo la
Magagdu wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Mdhamini
wizara ya Nchi, Afisi ya rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Pemba Massoud Ali Mohamed wa Mgagadu wilaya ya Mkoani akifahamisha jambo bwana
Nassor Khalid juu ya kukaa na familia yake, kumaliza mgogoro wa matumizi ya
shamba la wakfu, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
No comments:
Post a Comment