Habari za Punde

Tamasha la utamaduni lafanyika mkoani Pemba

 Mchezo wa karati, umekuwa ukipendwa na watu wengi wakiwemo Vijana , pichani ni vijana wakionesha jinsi wanavyocheza mchezo huo katika Tamasha la Utamaduni lililofanyika Mkoani Kisiwani Pemba.
Mchezo wa bao la kete ni maarufu sana katika visiwa vya Zanzibar, pichani Wachezaji wa mchezo huo wakionesha umahiri wao katika tamasha la Utamaduni lililofanyika Mkoani Kisiwani Pemba

Picha na Habiba Zarali -Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.