Mgeni
Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Abdulla Juma Saadala,
akimkabidhi kombe Nahodha wa timu ya Kundemba FC,Mohamed Haji Shaibu, baada ya
kuibuka mshindi katika mashindano ya
Masauni - Jazeera Cup.Katikati ni Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Mhandisi Hamad
Masauni.Mchezo huo ulimalizika kwa mikwaju ya penati 8-7 iliyopelekea timu ya
Kundemba FC kuibuka bingwa dhidi ya Kilimani
Maghorofani.Mchezo huo ulifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Visiwani
Zanzibar. Picha na Abubakari Akida
Mgeni
Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdulla Juma Saadala,
akimkabidhi zawadi ya viatu mchezaji
bora wa mashindano ya Masauni - Jazeerah Cup,Shabani Makuka.Kushoto ni
Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni, Nassor Saleh Jazeera na watatu ni Mbunge wa
jimbo hilo,Mhandisi Hamad Masauni.Mchezo huo ulimalizika kwa mikwaju ya penati
8-7 iliyopelekea timu ya Kundemba FC
kuibuka mshindi dhidi ya Kilimani
Maghorofani, mchezo huo ulifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmmoja,Visiwani
Zanzibar.Picha na Abubakari Akida
Nahodha
wa timu ya Kundemba FC, Mohamed Haji Shaibu, akipokea zawadi ya mshindi wa kwanza
wa mashindano ya Masauni-Jazeera Cup kutoka kwa Mgeni Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar , Dkt.Abdulla Juma Saadala.Kushoto ni Mwakilishi wa Jimbo
la Kikwajuni, Nassor Saleh Jazeera na watatu ni Mbunge wa jimbo hilo, Mhandisi
Hamad Masauni .Picha na Abubakari Akida
Nahodha
wa timu ya Kundemba FC,Mohamed Haji Shaibu, akifurahia fedha za
zawadi ya mshindi wa kwanza mashindano ya Masauni-Jazeera baada ya kuzipokea kutoka kwa Mgeni Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Abdulla Juma Saadala,(aliyeshika kombe).Picha
na Abubakari Akida
Mgeni
Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Abdulla Juma Saadala,
akizungumza na wananchi (hawapo pichani), waliofika kuangalia mchezo wa fainali
wa mashindano ya Masauni - Jazeera Cup.Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la
Kikwajuni,Mhandisi Hamad Masauni.Mchezo huo ulimalizika kwa mikwaju ya penati
8-7 iliyopelekea timu ya Kundemba FC
kuibuka bingwa dhidi ya Kilimani Maghorofani,uliofanyika katika viwanja
vya Mnazi Mmmoja, Visiwani Zanzibar.Picha na Abubakari Akida
Wachezaji
na mashabiki wa timu ya Kundemba FC, wakishangilia kuibuka mabingwa wa mashindano
ya Masauni - Jazeera Cup, baada ya kuifunga timu ya Kilimani Maghorofani kwa
ushindi wa mikwaju ya penati 8-7.Mchezo huo ulifanyika katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja,Visiwani Zanzibar.Picha na Abubakari Akida
No comments:
Post a Comment