Habari za Punde

Zanzibar Charitable Society watoa msaada wa misahafu na juzuu Wete Pemba

 KATIBU mtendaji wa taasisi ya Zanzibar Charitable Society, Zahor Mazrui, akiwakabidhi misahafu 2000 kwa wanafunzi wa Vyuo 35 vya Quran vilivyomo ndani ya majimbo matatu ya Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 KATIBU mtendaji wa taasisi ya Zanzibar Charitable Society, Zahor Mazrui, akiwakabidhi vijuzuu wanafunzi wa Vyuo 35 vya Quran vilivyomo ndani ya majimbo matatu ya Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

BAADHI ya wanafunzi kutoka Vyuo 35 vya Quran, vilivyomo ndani ya majimbo matatu ya Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakinyanyua juu misahafu yao waliopewa na taasisi ya Zanzibar Chiritable Society.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.