Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Zanlink Liquid Telecom Zanzibar Sanjay Raja akimkabidhi fulana mmoja wa wachezaji Watatu wa Golf Zanzibar Kampuni hiyo imewadhamini kushiriki katika mashindano hayo ya Golf yanayotarajiwa kufanyika Zanzibar Oktober 24 katika viwanja vya Hoteli ya Sea Cliff Zanzibar na kushirikisha wachezaji maarufu wa mchezo huo, akipokea fulana mchezani Mussa Foum kutoka klabu ya Maisara Golf na Kassim Ame kushoto Mujumba wa Kamati ya maandalizi ya mashindano hayo kutoka Taasisi ya Zanzibar Rotary Club Bi. Sjani Muggenburg, hafla hiyo imefanyika katika ofisi za Kampuni ya Zanlink Majestic Zanzibar leo 19-10-2017.
DKT.ABBASI AFANYA ZIARA YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi leo tarehe
10 Mei, 2025 amefanya ziara katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro na kukagua
ut...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment