Mshambuliaji wa Timu ya Kilimani City akijaribu kumpita beki wa Timu ya Black Sailors wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Mchezaji wa Timu ya Kilimani City akipiga mrira golini kwa Timu ya Black Sailors huku beki wa timu hiyo akijaribu kuuzuiya mpira huo.
Wachezaji wa Timu ya Black Sailors na Kilimani City wakiwania mpira.
No comments:
Post a Comment