Gari aina ya saga mawe likiwa kazini kukamilisha uwekaji sawa kwa kushindilia kifusi katika eneo la kijangwani linalojengwa Kituo Kipya cha Daladala katika eneo hilo tayari kwa kiasi kikubwa yamekamilika kwa utiaji ya kifusi kwa awamu ya mwanzo ya ujenzi huo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla Amefunga
Kongamano la Afya Zanzibar Lililofanyika katika Ukumbi wa Golden Tulip
Zanzibar
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizindua
kitabu cha Miongozo ya matibabu ya kawaida na orodha muhimu ya dawa
kilichotolew...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment