Gari aina ya saga mawe likiwa kazini kukamilisha uwekaji sawa kwa kushindilia kifusi katika eneo la kijangwani linalojengwa Kituo Kipya cha Daladala katika eneo hilo tayari kwa kiasi kikubwa yamekamilika kwa utiaji ya kifusi kwa awamu ya mwanzo ya ujenzi huo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment