Gari aina ya saga mawe likiwa kazini kukamilisha uwekaji sawa kwa kushindilia kifusi katika eneo la kijangwani linalojengwa Kituo Kipya cha Daladala katika eneo hilo tayari kwa kiasi kikubwa yamekamilika kwa utiaji ya kifusi kwa awamu ya mwanzo ya ujenzi huo.
Mgombea Urais wa Zanzibar Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefunga Kampeni za CCM Katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja Jijini Zanzibar leo 26-10-2025
-
Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi
wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha
Mapind...
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment