Habari za Punde

Kamati ya Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yatembelea Pemba Kukagua miradi

 WAJUMBE wa kamati ya Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Ali Suleiman Shihata, wakimsikiliza meneja wa Redio Jamii Micheweni Ali Massoud Kombo(katikati) wakati walipotembelea sehemu ya kurushia matangazo katika redio hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 AFISA Mdhamini Wizara ya Habari Utalii,Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Majaja akitoa historia ya kuanzishwa kwa Redio Jamii Micheweni, kwa wajumbe wa kamati ya Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii ya baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati wapitembelea redio hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MWENYEKITI wa Kamati ya Maendeleo ya Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe:Ali Suleiman Shahata, akiwaongoza wajumbe wa kamati hiyo katika kutembelea hoteli ya AIYAANA huko Makangale Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni moja ya vivutio vya utalii Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.