Mfanyabiasha Maarufu Zanzibar na Mwanamichezo Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Zanzibar akijumuika na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar katika matembezi hayo kutembea ili kufanya mazoezi baada ya matibabu yake kumalizika na kufthamini mchango wa Waandishi wa habari katika jamii kupasha habari. Matembezi hayo yameazia katika viwanja vya mnazi mmoja na kumalizikia katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment