Mfanyabiasha Maarufu Zanzibar na Mwanamichezo Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Zanzibar akijumuika na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar katika matembezi hayo kutembea ili kufanya mazoezi baada ya matibabu yake kumalizika na kufthamini mchango wa Waandishi wa habari katika jamii kupasha habari. Matembezi hayo yameazia katika viwanja vya mnazi mmoja na kumalizikia katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment