Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa ya Zanzibar wakiwa katika zoezi la kupaka rangi alama za kuvukia watembea kwa miguu katika eneo la Mkunazini Unguja alama hizo zimekuwa zimefutika na kutoonesha kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa magari
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment