Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa ya Zanzibar wakiwa katika zoezi la kupaka rangi alama za kuvukia watembea kwa miguu katika eneo la Mkunazini Unguja alama hizo zimekuwa zimefutika na kutoonesha kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa magari
MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI KONGO KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa N’djili,
Kinshasa, J...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment