Habari za Punde

Uimarishaji wa Alama za Barabarani Zebra Cross Zenj.

Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa ya Zanzibar wakiwa katika zoezi la kupaka rangi alama za kuvukia watembea kwa miguu katika eneo la Mkunazini Unguja alama hizo zimekuwa zimefutika na kutoonesha kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa magari  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.