Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Haile Sallesie wakishangilia Ubingwa wao baada ya kuifunga Skuli ya Sekondari ya Nyuki katika mchezo wa Fainali uliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar imeibuka kwa ushindi wa Vikapu 37 - 23.. Wanawakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Tamasha la Elimu Bila Malipo katika Michguano ya Taifa inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo kuzikutanisha Skuli za Sekondari za Mikoa Mitano ya Zanzibar.
TABIO, TOAM WANAVYOUNGANA NA AFSA KATIKA MAPENDEKEZO YA KULINDA NA KUZIENDELEZA MBEGU ZA WAKULIMA
-
Na Mwandishi Wetu
KUMEKUWEPO na majadiliano yanayoendelea katika nchi za Afrika ikiwemo
Tanzania na sehemu kubwa ya majadiliano hayo yanahusu namna nzur...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment