Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Haile Sallesie wakishangilia Ubingwa wao baada ya kuifunga Skuli ya Sekondari ya Nyuki katika mchezo wa Fainali uliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar imeibuka kwa ushindi wa Vikapu 37 - 23.. Wanawakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Tamasha la Elimu Bila Malipo katika Michguano ya Taifa inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo kuzikutanisha Skuli za Sekondari za Mikoa Mitano ya Zanzibar.
Askofu Mwankenja ahimimiza watanzania kupiga kura Oktoba 29
-
Na Mwandishi Wetu
Askofu wa Kanisa la Furahini katika Bwana la jijini Dar es Salaam
Dkt.Ezekiel Mwankenja amesema kuwa Watanzania kujitokeza katika kupiga ...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment