Habari za Punde

Skuli ya Sekondari ya Haile Sallasie Mabingwa Mchezo wa Basket Ball Tamasha la Elimu Bila Malipo Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Baada Kuifunga Timu ya Sekondari ya Nyuki Kwa Vikapu 37 -23.Katika Mchezo wa Fainali Uliofanyika Viwanja Vya Maisara leo Asubuhi.

Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Haile Sallesie wakishangilia Ubingwa wao baada ya kuifunga Skuli ya Sekondari ya Nyuki katika mchezo wa Fainali uliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar imeibuka kwa ushindi wa Vikapu 37 - 23.. Wanawakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Tamasha la Elimu Bila Malipo katika Michguano ya Taifa inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo kuzikutanisha Skuli za Sekondari za Mikoa Mitano ya Zanzibar.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.