BAADHI ya wateja na wafanyakazi wa Benk ya watu wa Zanzibar PBZ Tawi la Pemba, wakiwa katika sala ya pamoja ya Magharibi iliyofanyika katika kiwanja cha Kufurahishia watoto Tibirinzi Chake Chake Pemba
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Hemed Suleiman Abdalla wanne kutokea kulia, wakijumuika katika futari maalumu iliyoandaliwa na Benk ya Watu wa Zanzibar PBZ Tawi la Pemba, futari hiyo imefanyika katika viwanja vya kufurahishia watoto Tibirinzi.
VIONGOZI wa Serikali Pemba, Wananchi na Wateja wa PBZ Kisiwani Pemba wakijumuika katika futari ya Pamoja iliyoandaliwa na Bnek hiyo, iliyofanyika katika kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirinzi
No comments:
Post a Comment