DCP wa Jeshi la Polisi Azizi Juma Mohammed amekuwa Amejunyonga Nje ya Nyumba yake maeneo ya Kibweni Zanzibar leo,Sababu za kifo chake bado hakijaleta mwili wa marehemu unafanyiwa uchunguzi hospital Kuu ya mnazi mmoja Zanzibar.
Maziko yanafanyika Nyumbani Kwake Kibweni na kuzikwa leo saa saba katika makaburi ya Mwanakwerekwe Unguja.
No comments:
Post a Comment