Habari za Punde

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Eng. Hamad Masauni Akagua Uandishaji wa Vitambulisho Vya Taifa na Utowaji wa Pasispoti Mpya za Kusafiria Zanzibar.

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Zanzibar, Hassan Hassan ,akifafanua  jambo kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili kulia),alipofika ofisi za mamlaka hiyo  leo kukagua zoezi la utolewaji vitambulisho kwa wananchi
Mkazi wa Unguja  Salma Ali,  akizungumza  wakati  wa  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad  Masauni (hayupo pichani), alivyofika Ofisi za Uhamiaji Zanzibar leo  kukagua zoezi la utolewaji wa pasi za kusafiria za kielektroniki linavyoendelea.
Mkazi wa Unguja  Salim Hassan Makame,  akizungumza  wakati  wa  Naibu  Waziri wa  Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani), alivyofika  Ofisi za Uhamiaji Zanzibar leo  kukagua zoezi la utolewaji wa pasi za kusafiria za kielektroniki linavyoendelea.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.