Banda la Maonesho la Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar limekuwa kivutio katika maonesho ya Siku ya Chakula Duniani katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba, kama inavyoonekana moja ya mapambo ya mabungo katika banda hilo.
UDAHILI WA WANAFUNZI WA TIBA KUONGEZEKA MARA TATU CHUO CHA MUHAS KUPITIA
MRADI WA HEET
-
Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( MUHAS) Prof.
Appolinary Kamuhabwa, akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27,2025
D...
53 minutes ago

No comments:
Post a Comment