Habari za Punde

Zantel Kushirikiana na Benki ya Posta Kuboresha Huduma za Kifedha Kupitia Simu ya Mkononi



Mkuu wa Zantel Zanzibar Ndg.Mohammed Khamis Mussa kushoto na Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji Biashara wa Tpb. Ndg. Deo Kwiyukwa, wakizindua, wakipogenzana baada ya kuzindua huduma ya  Kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania kuboresha huduma za kifedha kupitia simu za mkonino katika Mtandao wa Ezypesa, kuunganishwa na Benki ya Tpb kuwawezesha Wateja kufanya mihamala ya kifedha ya kibenki kupitia simu zao. hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika Tawi la Benki ya Posta Zanzibar.












No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.