Mkuu wa Zantel Zanzibar Ndg.Mohammed Khamis Mussa kushoto na Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji Biashara wa Tpb. Ndg. Deo Kwiyukwa, wakizindua, wakipogenzana baada ya kuzindua huduma ya Kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania kuboresha huduma za kifedha kupitia simu za mkonino katika Mtandao wa Ezypesa, kuunganishwa na Benki ya Tpb kuwawezesha Wateja kufanya mihamala ya kifedha ya kibenki kupitia simu zao. hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika Tawi la Benki ya Posta Zanzibar.
MEI MOSI YAFANA ARUSHA, RC MAKONDA ALIA NA UBOVU WA BARABARA
-
Na. Vero Ignatus Arusha
Maadhimisho ya sherehe za mei mosi kit aifa yamefanyika Mkoani Arusha
ambapo yamekuwa na zaidi ya waandamanaji 7000 mbali na ...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment