Mkuu wa Zantel Zanzibar Ndg.Mohammed Khamis Mussa kushoto na Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji Biashara wa Tpb. Ndg. Deo Kwiyukwa, wakizindua, wakipogenzana baada ya kuzindua huduma ya Kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania kuboresha huduma za kifedha kupitia simu za mkonino katika Mtandao wa Ezypesa, kuunganishwa na Benki ya Tpb kuwawezesha Wateja kufanya mihamala ya kifedha ya kibenki kupitia simu zao. hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika Tawi la Benki ya Posta Zanzibar.
RAIS SAMIA ANAPENDA KUFANYA KAZI NA VIONGOZI WA DINI - DKT. BITEKO
-
📌 Asisitiza milango ya Rais Samia ipo wazi kwa ajili ya mazungumzo kwa
mustakabali wa Taifa
📌 Asema Serikali inatambua na kuthamini kazi kubwa inayofa...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment