Mshambuliaji wa Timu ya Kikwajuni akiwa na mpira akijaribu kumpita beki wa Timu ya Miembeni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu Daraja la Kwanza Kanda uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu hizo zimetoka sare ya bao 2-2.
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment