Mshambuliaji wa Timu ya Kikwajuni akiwa na mpira akijaribu kumpita beki wa Timu ya Miembeni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu Daraja la Kwanza Kanda uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu hizo zimetoka sare ya bao 2-2.
REA Yagawa Majiko na Mitungi ya Gesi kwa Watumishi wa Magereza Kagera
Kuunga Mkono Matumizi ya Nishati Safi
-
Na Diana Byera, Bukoba
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamezindua zoezi la kugawa majiko na
mitungi ya gesi 486 kwa watumishi wote wa magereza nane za m...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment