Mshambuliaji wa Timu ya Kikwajuni akiwa na mpira akijaribu kumpita beki wa Timu ya Miembeni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu Daraja la Kwanza Kanda uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu hizo zimetoka sare ya bao 2-2.
MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU
-
Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda
taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment