Zantel ni Kampuni inyaoongoza kwa utoaji wa huduma za mawasiliano Visiwani Zanzibar kwa miaka mingi hivi sasa ikiongoza kwa ubora miundombinu ya mawasiliano, huduma pamoja na bidhaa.
Huduma ya kifedha ya
Ezypesa ni ya kwanza nchini Tanzania kutoa huduma za kibenki za kawaida pamoja
na za kiislamu kwa ushirikianona benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).
Aidha, Zantel ni kampuni
inayoongoza kwa utoaji wa huduma za intaneti nchini Tanzania kupitia uwekezaji kwenye
teknolojia ya fibre optic cable ambayo inaiunganisha Tanzania na nchi nyingine
za Afrika Mashariki na duniani umeiwezesha Kampuni hiyo kuleta mapinduzi ya
haraka ya kidigitali hapa nchini.
Aidha,Miundombinu
hiyo imeiwezesha Zantel kutoa huduma za
kimataifa za sauti na data kwa jumla kwa kampuni nyingine na nchi jirani hivyo
kuchagiza ukuaji wa teknolojia ya digitali
Rukia
Mtingwa – Manager Brand and Communication
Mobile: +255 774 55 9999
No comments:
Post a Comment