Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Barabara wakiwa katika zoezi la kuimarisha miundombinu hiyo kwa kuweka lami katika sehemu zilizoathirika kutokana na mvua za masika zilizomalika hivi karibuni na kuleta madhara kwa baadhi ya barabara.
Miriam Odemba Awaalika Watanzania Kuchangia Ujenzi wa Vyoo kwa Ajili ya
Wanafunzi
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Miriam Odemba Foundation (MOF) ambaye pia ni
mwanamitindo nguli wa kimataifa, Miriam Odemba amesisitiza Watanzania
kuchangia fe...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment