Wananchi wa Jimbo la Mtoni Jijini Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Chuo Cha SUZA Betras Jijini Zanzibar, wakiwa katika zoezi la kuchukua Vitambulisho vyao vipya vya kupigia kura Zanzibar.
DKT.SAMIA AHUTUBIA MAELFU WANANCHI ZANZIBAR,AAHIDI KITUO CHA KUMBUKUMBU NA
NYARAKA ZA MUUNGANO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema Muungano wa Tanganyika na Za...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment